HOT & HAPPENING

   
images1thumbnail
Mbio za kumpata mfungaji bora katika ligi ya Uingereza zimekuwa  ngumu kwani vinara hawa  wanne wanapigana vikumbo kutwaa kiatu hicho.  Didier Drogba (Chelsea), na  Wayne Rooney (Man Utd) wote wana magoli 26 kila mmoja, wakifuatiwa na Darren Bent (Sunderland) mwenye magoli 24, huku  Carlos Teves(Manchester City) akichukua nafasi ya nne akiwa  na magoli 22.
teves
Bent

You have no rights to add a new comment. May be you need to register on the site.

Latest Comments

People You may know!

Please login to be able to see the Content!