HOT & HAPPENING

Miss_Uganda_08_Dora_Mwima-7903821

Aliyekuwa miss Uganda 2008, Dora Mwima amewataka washiriki wa taji hilo  mwaka 2010/11kuepukana  na ushindi wa chee kwa kujirahisisha mbele ya majaji wakwale.

Dora aliyasema hayo hi vi karibuni alipokuwa akiwafunda washiriki zaidi ya kumi na tano kambini kufuatia tabia hizo kuzidi shamiri katika mashindano hayo.
 “Ukitaka kushinda taji, epukana dhidi ya rushwa ya ngono. Tunajaribu kuwaandaa vizuri ili kila mmoja wae na nafasi sawa ya kuibuka mshindi.” Dora alikaririwa akisema.

Hata hivyo Dora ambaye kwa sasa ni msemaji rasmi wa mashindano hayo anakiri kuwa wana kazi kubwa ya kufanya ili kuondoa tatizo hilo.

miss_Uganda_interview

AVOID BEING BONKED-DORA TELLS MISS UGANDA MODELS.

Former Miss Uganda has warned contestants vying for the most beautiful babe in Uganda for the year 2010-2011 pageant to stay off sex. This was during the recent auditions where more than fifteen models were chosen recently to join a residential camp.

"If you want to win a title, stay off bonking because the training you are to undergo needs a lot of concentration. Men will only act as a distraction." Dora is also the current Miss Uganda spokesperson .

Huh we doubt if her advice will really be taken.

 

You have no rights to add a new comment. May be you need to register on the site.

Latest Comments

People You may know!

Please login to be able to see the Content!