HOT & HAPPENING

  
alexisjordan-e1269971519459

Roc Nation Under Jigga Man ime m sign mwadada mwengine mpya kwenye Lebo hiyo ambayo ina masupastaa wanofanya vizuri kwenye game kama Rihanna, Beyonce, Alicia Keys na sasa ni Mwanadafada Alexis Jordan mwenye umri wa miaka 17. Alexis alishiriki kwenye mashindano yakusaka vipaji yanayoitwa America’s Got Talent. Mwanadada huyo mkazi wa Carolina aliwavutia majaji alipoimba ngoma ya Whitney Houston ‘I have nothing’ Ingawa hakushinda.
Ila aliwavutia zaidi Wadau wa muziki kwa Ngoma zake mbazo alikuwa aki sample na kuweka you tube baadhi ya ngoma hizo ni pamoja na B.O.S’S Nothing on you na Ngoma ya Jay Z Run this town… Mwisho wa siku akajikuta Jay Z akimpigia simu na kum sign on ROCNATION!

You have no rights to add a new comment. May be you need to register on the site.

Latest Comments

People You may know!

Please login to be able to see the Content!