HOT & HAPPENING

Google_Chief_schmidt

Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Google, bwana Eric Schmidt ametoa angalizo kwa kampuni ya Facebook kuwa huenda ikaja leta madhara  makubwa siku zijazo katika kampuni yake juu ya uhifadhi wa kumbu kumbu. Bwana Schmidt aliweka wazi hofu yake hiyo mjini London august 18, 2010 alipoishutumu kampuni ya Facebook kwa kuruhusu watumiaji wake kuweka kumbu kumbu zao bila mpangilio maalumu hali ambayo inawafanya wawe na wakati mgumu katika kufuatilia miendendo ya uhifandhi wa kumbu kumbu hizo.

Akiongea na jarida la Wall Street la Nchini Uingereza Schmidt alisema ” Sijui kama jamii inaelewa madhara yatakayotokea hapo baadaye kama kila kitu kitakuwa wazi, usalama wa kumbu kumbu umezidi kuwa  dhaifu, nafikiri tunahitaji kuliangalia hili kwa umakini zaidi”. Alikaririwa.

Google imekuwa ni kama maktaba adimu ambayo mpaka sasa imehifadhi mabilioni ya taarifa kutoka  sehemu mbali mbali za Dunia.

schmidt-google-twi_1406554c1

GOOGLE AGAINST FACEBOOK

 Eric Schmidt, the chief executive of Google, has issued a stark warning over the amount of personal data people leave on the internet and suggested that many of them will be forced one day to change their names in order to escape their cyber past, The Independent learned.
In a startling admission from a man whose company has made billions by perfecting the art of hoarding, storing and retrieving information on us, Mr Schmidt suggested that the enormous quantity of detail we leave online may not be such a good thing after all.
The man who – alongside Google's founders Sergey Brin and Larry Page – runs the world's largest search engine said that young people will need to go as far as changing their identities if they are to truly erase what they have left online.
"I don't believe society understands what happens when everything is available, knowable and recorded by everyone all the time," he told the Wall Street Journal. "I mean we really have to think about these things as a society."
For a man whose company is built on the ability to store information and retrieve it again in a faster and more efficient way than its rivals, Mr Schmidt's admission revealed a surprising concern among Google's leadership over the importance of data privacy.
But it has also provoked a wider debate on the sheer amount of information we give away about ourselves online and how most of that data is virtually un-erasable.

 

You have no rights to add a new comment. May be you need to register on the site.

Latest Comments

People You may know!

Please login to be able to see the Content!