11 May 2010
|
|
|
Carl Taussig mkuu wa idara ya kompyuta katika kampuni ya HP(Hewlett-Packard(HP) amesema kwamba ipo mbioni kubadilisha glass display na kuweka plastic display katika bidhaa zake. Akisisitiza kwamba bidhaa za plastic ni nafuu sana ukilinganisha na malighafi za glasi (glass display) . Katika uchunguzi huo amesema plastiki itakayotumia itakuwa ni nyembamba sana ( 50 micron thick), ambayo ni nyembamba kuzidi kipande cha karatasi. Mabadiliko haya yatakuwa baada ya miaka 10. |















