06 September 2010
|
|
|
Wanyange wanaowania taji la Miss Vodacom Tanzania 2010, jana walinusurika katika ajari ya maji baada ya boti yao kukumbwa na dhoruba kali ya upepo. Habari zinasema kuwa warembo hao ambao wapo katika kisiwa cha Mbudya wakipiga picha za filamu, walikutwa na mkasa huo karibu na klabu ya Yatch iliyopo pembezoni mwa bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam. Akithibitisha kutokea kwa mkasa huo jana, Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino Agency alisema kuwa ni kweli tukio hilo limewakuta lakini warembo wote wapo salama na wanaendelea na zoezi hilo kama kawaida. |
![]() |
|
MISS VODACOM SURVIVE BOAT CLASH Miss Vodacom Tanzania for 2010, yesterday were nearly to get lost in Indian Ocean after their marine vessel failed to overcome massive wind blow. News says that contestants who were taking video shooting near Yatch beach along Dar Es Salaam coast managed to survive from the disaster after applying some marine rescue utilities to withdraw from further damage. In supporting the occurrence of the incidence, Director for Lino Agency Hashim Lundenga said that none of the contestant got serious injury, and at least all of them are proceeding with the video shooting process at Mbudya isles. |
















